Friday, May 7, 2010
Tuesday, April 6, 2010
Tuesday, March 23, 2010
Friday, March 19, 2010
Tuesday, March 9, 2010
MAKUBWAAA
YALAHHHH!
Siku chache zilizopita nimesoma gazeti moja linaloeleza kuwa Condom mahususi kabisa kwa ajili ya watoto zipo madukani tayari kabisa kwa matumizi. Ki ukweli nimeshtuka si kidogo na kujiuliza., Hivi ngono ni muhimu kiasi hiki hata kwa watoto? Ukiuliza kwa nini utaambiwa Ukimwi hauna mipaka. Wewe unafikiri nini kuhusu suala hili?
Siku chache zilizopita nimesoma gazeti moja linaloeleza kuwa Condom mahususi kabisa kwa ajili ya watoto zipo madukani tayari kabisa kwa matumizi. Ki ukweli nimeshtuka si kidogo na kujiuliza., Hivi ngono ni muhimu kiasi hiki hata kwa watoto? Ukiuliza kwa nini utaambiwa Ukimwi hauna mipaka. Wewe unafikiri nini kuhusu suala hili?
Subscribe to:
Posts (Atom)












